Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Nassr jana iliondoshwa kwa mikwaju ya penalty baada ya dakika 120 kumalizika (4-4) kwenye Ligi ya mabingwa Barani Asia na Al ain ya UAE.
Klabu ya Al Nassr jana iliondoshwa kwa mikwaju ya penalty baada ya dakika 120 kumalizika (4-4) kwenye Ligi ya mabingwa Barani Asia na Al ain ya UAE. Al Nassr imeondoshwa na klabu yenye thamani ndogo zaidi kwenye kikosi chao kutoka falme za kiarabu, Al ain ina thamani ya €34.40M zaidi ya (Tsh Bilioni 94) na Al Nassr ina thamani ya €144.03.M zaidi ya (Tsh Bilioni 400).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live