Mon, 20 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klab ya Al mereikh ya Sudan, imekataa ofa ya klabu ya Azam FC ya dola elfu 50 ambazo ni sawa na Tsh.milioni (129,634.297) kuwa ada ya uhamisho wa kudumu wa Mlinda lango wao Mohamed Mustafa.
Klab ya Al mereikh ya Sudan, imekataa ofa ya klabu ya Azam FC ya dola elfu 50 ambazo ni sawa na Tsh.milioni (129,634.297) kuwa ada ya uhamisho wa kudumu wa Mlinda lango wao Mohamed Mustafa. Golikipa Mohamed Mustafa yupo Azam kwa Mkopo na Klabu hiyo imeonekana kuvutiwa na huduma yake na sasa wanamtaka jumla.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live