Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imethibitisha kuwasajili nyota wawili ambao wanachezea nafasi ya ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu wa 2023/23.
Pichani kulia ni Adam Bossu (23) raia wa Kidemokrasia ya Congo amesaini mkataba wa miaka mitatu akitokea TP Mazembe ya DRC.
Pichani kushoto ni Jean Claude Girumugisha (19) raia wa Burundi amesaini mkataba wa miaka minne akitokea Aigle Noir ya nchini kwao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live