Fri, 4 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan imethibitisha kuwasilisha orodha ya wachezaji wake watakaokuwa sehemu ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2023/24 kwenye Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF.
Klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan imethibitisha kuwasilisha orodha ya wachezaji wake watakaokuwa sehemu ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2023/24 kwenye Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF. Kikosi hicho chenye jumla ya wachezaji 40 ndio wataipambania Al Hilal Omdurman kwenye Mashindano mbalimbali kwenye msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live