Tue, 24 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imemsajili mchezaji Adam Bossou raia wa DR Congo kwa kandarasi ya Miaka 3.
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imemsajili mchezaji Adam Bossou raia wa DR Congo kwa kandarasi ya Miaka 3. Bossou ana umri wa miaka 23 yupo tayari kwaajili ya Kuongeza nguvu idara ya Ushambuliaji wa Al Hilal.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live