Wed, 5 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa PSGna Timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi amepokea Ofa Kutoka klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia ambapo inatajwa atalipwa
Tsh Trilioni 1, Bilioni 25 na Milioni 322 Laki 4 na elfu 80 ( 1,025,322,480,000) Kwa Mwaka
Taarifa za ndani zinasema Messi bado anahitaji kucheza Soka La Ulaya mpaka Copa America 2024.
Klabu ya Barcelona wanatazamiwa kumrudisha nyota huyo wa Soka kam mambo yatakwenda vizuri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live