Sat, 11 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia kwa mara ya 19 huku wakiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikia pointi 89 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote.
Klabu ya Al Hilal imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia kwa mara ya 19 huku wakiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikia pointi 89 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote. Al Hilal wametwaa ubingwa huu bila kupoteza mchezo wowote katika mechi zote 31 walizocheza wakishinda mechi 29 na kupata sare mechi mbili tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live