Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Al-Hilal wanataka kumsajili kiungo wa Lazio Sergej Milinković-Savić (28), ofa iliyowasilishwa na Al-Hilal ni kiasi cha €40M ambayo Lazio wameikubali.
Al-Hilal wanataka kumsajili kiungo wa Lazio Sergej Milinković-Savić (28), ofa iliyowasilishwa na Al-Hilal ni kiasi cha €40M ambayo Lazio wameikubali. Kilichobaki ni uamuzi wa mwisho kwa mchezaji kulingana na maamuzi yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live