Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal inatarajiwa kushuka dimbani ijumaa, December 1 saa 10:00 Jioni katika uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza dhidi ya Esperance de Tunis.
Klabu ya Al Hilal inatarajiwa kushuka dimbani ijumaa, December 1 saa 10:00 Jioni katika uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza dhidi ya Esperance de Tunis. Al Hilal inatumia uwanja wa Benjamin Mkapa kutokana na hali ya usalama kutokuwa imara nchini Sudan.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live