Sun, 26 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Klabu ya Al Ahly wameibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Medeama ya chana katika dimba la Cairo na kukwea kileleni mwa kundi D la Yanga SC.
MSIMAMO KUNDID 1. Al Ahly (3) 2, CR Belouizdad (3) 3. Yanga SC (0) 4. Medeama (0)
MATOKEO MENGINE CAFCL ES Tunis 2-0 DEtoile du Sahel Petro de Luanda 1-0 Al Hilal
Wiki ijayo Desemba 2, 2023, Yanga SC itakuwa nyumbani Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahly huku Wekundu wa Msimbazi wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Cralaxy siku hiyo hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live