Thu, 7 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miamba sa soka Barani Afrika, Club ya soka ya Al Ahly, wameigomea ofa iliyotumwa na Club ya soka ya Fernabache kutoka Uturuki ambapo walikuwa wanamtaka Kumsajili nyota wa kimataifa wa Mali Aliou Dieng.
Miamba sa soka Barani Afrika, Club ya soka ya Al Ahly, wameigomea ofa iliyotumwa na Club ya soka ya Fernabache kutoka Uturuki ambapo walikuwa wanamtaka Kumsajili nyota wa kimataifa wa Mali Aliou Dieng. Al Ahly wameitaarifu Klabu hiyo kuwa Aliou Dieng hauzwi, kwa kile wanachodai kwamba wana msururu wa michuaoni Mingi Msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live