Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Al Ahly kimeanza safari kutoka nchini Misri kwenda Tanzania tayari kwa mechi ya pili hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga itayopigwa Desemba 2 saa 1:00 usiku katika Uwanja wa Mkapa.
Kikosi cha Al Ahly kimeanza safari kutoka nchini Misri kwenda Tanzania tayari kwa mechi ya pili hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga itayopigwa Desemba 2 saa 1:00 usiku katika Uwanja wa Mkapa. Wananchi mmejiandaa sawa sawa?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: