Fri, 16 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo hii utapigwa Mchezo wa kiporo wa Ligi ya mabingwa barani Afrika kwenye kundi D kati ya CR Belouizdad dhidi ya Al Ahly mchezo utakaopigwa Majira ya saa nne Usiku
Ikumbukwe tayari Yanga na Medeama kutoka kwenye kundi hilo wameshacheza mizunguko Minne huku watakaocheza leo wakiwa wamecheza mizunguko mitatu
Namna kundi lilivyo kabla ya Mchezo wa Leo
1. Al Ahly 5 Pts
2. Yanga 5 Pts
3. Belouizdad 4 Pts
4. Medeama 4 Pts
Vipi leo Yanga unamuombea nani apate matokeo? Tupe maoni yako kwenye commenti hapo chini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live