Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba ikijipanga kuhakikisha inasonga mbele kwa hatua inayofuata ya Mashindano ya African Football League.
Wapinzani wao katika hatua hiyo Klabu ya Al Ahly wamesema wao lengo lao ni kushins kila michuano ambayo wanashiriki msimu huu.
Akizungumza katika Mkutano na waandishi wa Habari Nahodha wa Al Ahly,Mohammed El Shenawy amesema;
"Tnafahamu hii ni michuano mipya, wengi wanataka kuweka rekodi ila Al Ahly imejipanga kushinda kila michuano inayoshiriki"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live