Sat, 7 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Jose Mourinho amepewa mchezo wa kesho dhidi ya Cagliari endapo atapoteza atafutwa kazi mara moja .
Conte anatajwa kama mrithi wa Mourinho ambae anaonekana kuanza vibaya msimu ndani ya AS Roma.
Mourinho katika Serie A msimu huu
Mechi Sita
Kapigwa tatu (3)
Sare mbili (2)
Ushindi moja (1)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live