Thu, 3 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ibrahimu Ajib nahodha Mpya wa kikosi cha Coastal Union, Soon atatangazwa kwa umma kusajiliwa kwake.
Kocha Zahera anaamini anafaa kuwa kiongozi wa Jeshi lake kuelekea msimu wa 23/24.
Kocha Mwinyi Zahera amewahi kufanya kazi na Ibrahim Ajib wakiwa katika Klabu ya Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live