Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Ajax imemteua nyota wake wa zamani John van ‘t Schip kama kocha mpya wa muda wa Ajax hadi tarehe 30 Juni, 2025.
Klabu ya Ajax imemteua nyota wake wa zamani John van ‘t Schip kama kocha mpya wa muda wa Ajax hadi tarehe 30 Juni, 2025. Hatua imekuja baada ya Klabu hiyo kumtimua aliekuwa Kocha wake Maurice Steijn kutokana na mfululizo wa Matokeo mabovu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live