Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa kuamkia leo Klabu ya Ajax imepata ushindi wa kwanza tangu mwezi wa nane ambapo walikuwa na mfululizo wa matokeo mabaya kwa zaidi ya mechi 10 .
Usiku wa kuamkia leo Klabu ya Ajax imepata ushindi wa kwanza tangu mwezi wa nane ambapo walikuwa na mfululizo wa matokeo mabaya kwa zaidi ya mechi 10 . Ushindi huo umekuja baada ya kuichapa FC Volendam magoli 2-0 ambayo yamewekwa kimiani na Bergwijn 57" na 89" Akpom akafunga bao la pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live