Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yacine Adli (23) amechagua kuwakilisha timu ya taifa ya Algeria lakini hatocheza mashindano ya AFCON 2024 baada ya kuhofia kupoteza nafasi yake katika kikosi cha AC Milan.
Yacine Adli (23) amechagua kuwakilisha timu ya taifa ya Algeria lakini hatocheza mashindano ya AFCON 2024 baada ya kuhofia kupoteza nafasi yake katika kikosi cha AC Milan. Kiungo Yacine Adli amezaliwa nchini Ufaransa na wazazi wake wana asili ya Algeria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live