Sun, 12 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Kimataifa wa Tanzania Aisha Masaka, amefunga mabao mawili jana kwenye ushindi wa mabao 4-0 waliopata timu yake ya @bkhackenofcl dhidi ya PITEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Sweden.
Masaka alifunga mabao hayo akitokea Benchi dakika ya 49 na 59. Sasa Masaka anakuwa amefunga mabao 5 kwenye mechi tatu za hivi Karibuni akiwa na Manjano hao wa Sweden.
Hivyo basi, anakuwa amejipa zawadi nzuri ya Birthday yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live