Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameandika...
"Walikua wanalilia tuwaoneshe goli letu lililotupeleka Makundi, sasa tuwaambie tuu goli lililotupeleka makundi limefungwa na mchezaji wetu kipenzi wa zamani Charles Ilanfya! Enhee kuna swali jingine??!"
Hiyo ni baada ya Yanga SC kupoteza kwa 2-0 dhidi ya Ihefu FC hapo jana Oktoba 4, 2023 na goli la ushindi likiwekwa kimiani na Charles Ilanfya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live