Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ahmed Ally arudisha shukurani kwa Mashabiki Simba SC

SIMBA 08 Ahmed Ally arudisha shukurani kwa Mashabiki Simba SC

Mon, 18 Apr 2022 Chanzo: dar24.com

Uongozi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC umetoa shukurani kwa Mashabiki na Wanachama wake, kufuatia kuitikia wito wa kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuishangilia timu yao ilipokua ikicheza dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

Jana Jumapili (April 17) Simba SC ilikua mwenyeji wa Orlando Pirates katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikianza kampeni za kusaka tiketi ya kucheza Nusu Fainali Kombe la Shirikisho kwenye mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali.

Shukran za Simba SC kwa Wanachama na Mashabiki zimetolewa na Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally kwa kuandika ujumbe mzito katika ukurasa wake wa Instagram.

Ahmed aandika: TUMEWAITA MKAITIKAAA

Ninyi ni watu bora sana

Chanzo: dar24.com