Mon, 8 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally inaonekana alikuwa hajalala na badala yake akiufuatilia kwa ukaribu mchezo wa Watani zao Yanga.
Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally inaonekana alikuwa hajalala na badala yake akiufuatilia kwa ukaribu mchezo wa Watani zao Yanga. Na baada ya dakika 90 kutamatika kwa ‘Machungu’ Jangwani baada ya kichapo kibaya cha goli 3-1 kutoka APR akaibuka na ujumbe mfupi ambao ni kama dongo kwa mtani akidai wamewakimbia Simba; “Wametukimbia”.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live