Wed, 19 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisa habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kwa sasa Simba inamalizana na kuaga wachezaji wao walioamua kuwapa mkono wa kwa heri na baada ya kukamilika kwa zoezi hilo kitakachofata ni burudani kwa Wanasimba.
Msikilize kwa urefu Ahmed Ally;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live