Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Al Ahly baada ya kuachana na Mohamed Abou Gabal 'Gabaski' baada ya siku tatu kupita tangu pale aliposajiliwa.
Al Ahly baada ya kuachana na Mohamed Abou Gabal 'Gabaski' baada ya siku tatu kupita tangu pale aliposajiliwa. Jana Februari 4 imetangaza kuwa imemsajili mlinda mlango Mahmoud El-Zanfali kwa mkopo wa miezi sita kutoka Al Dakhiliya kwa lengo la kuziba nafasi ya Mohamed El Shenawy aliepata majeraha katika michuano ya AFCON 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live