Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Ahly SC imefanya mazoezi ya mwisho jijini Cairo kabla ya Safari ya kuja Tanzania kwa ajili ya mechi ya michuano ya klabu bingwa dhidi ya wananchi Yanga, ambapo Al Ahly Sc wanatarajia kuwasili jijini Dar Es Salaam usiku wa leo.
Klabu ya Al Ahly SC imefanya mazoezi ya mwisho jijini Cairo kabla ya Safari ya kuja Tanzania kwa ajili ya mechi ya michuano ya klabu bingwa dhidi ya wananchi Yanga, ambapo Al Ahly Sc wanatarajia kuwasili jijini Dar Es Salaam usiku wa leo. Wananchi mnawaahidi nini Al Ahly kuelekea mechi ya Jumamosi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live