Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Al Ahly ya Misri kimeanza safari kuelekea Ghana kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani dhidi ya Medeama.
Kikosi cha Al Ahly ya Misri kimeanza safari kuelekea Ghana kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani dhidi ya Medeama. Mechi hiyo itapigwa Ijumaa hii Februari 23 saa 1:00 usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live