Tukio pichani ni Karim Demirbay nyota raia wa Uturuki akionyeshwa kadi nyekundu na Mwamuzi wa kike raia wa Ujerumani ,baada ya tukio hilo Karim aliongea maneno ya dharau kwa mwamuzi huyo akimwambia “hustahili kuwa hapa ulitakiwa kuwa jikoni”
Tukio pichani ni Karim Demirbay nyota raia wa Uturuki akionyeshwa kadi nyekundu na Mwamuzi wa kike raia wa Ujerumani ,baada ya tukio hilo Karim aliongea maneno ya dharau kwa mwamuzi huyo akimwambia “hustahili kuwa hapa ulitakiwa kuwa jikoni” Baada ya mchezo mwamuzi aliandika ripoti ya mechi na tukio hilo likiwepo , FIFA imemfungia mchezaji huyo mechi tano kwa kitendo hiko kilichotafsiriwa kama unyanyasaji .