Baada ya kutokea sintofahamu katika hotel waliyofikia Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" kwa kuvamiwa na wanajeshi wenye silaha na kutaka kuondoka na baadhi ya wachezaji.
Afisa Habari wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Clifford Ndimbo ameweka wazi nini hasa sababu ya watu hao kuwafanyia kile walichowafanyia.
Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF) Cliford Ndimbo afunguka kilichojiri kwenye kambi ya Taifa Stars nchini Madagascar.#FIFAWCQ #WorldCupQualifiers2022 #WorldCupQatar2022 #WCQ #WorldCup #SisiNiSoka #AzamTVMax #Tanzania #TaifaStars pic.twitter.com/ENiO8rIP4R
— Azam TV (@azamtvtz) November 14, 2021