Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Adolf Mtasingwa bado yupo sana Azam FC

Adolf Mtasingwa Ds Adolf Mtasingwa

Wed, 14 Aug 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa kiungo Adolf Mtasingwa Bitegeko (25) amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa miaka miwili utakaombakisha kwa Waoka Mikate hao mpaka 2027.

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa kiungo Adolf Mtasingwa Bitegeko (25) amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa miaka miwili utakaombakisha kwa Waoka Mikate hao mpaka 2027. Mkataba wa awali wa Mkata umeme huyo raia wa Tanzania ulikuwa utamatike Juni 2025 lakini sasa ataendelea kudumu kwenye viunga vya Azam Complex, Chamazi mpaka Juni 2027.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: