Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kampuni ya Adidas imesitisha mauzo ya jezi mpya za klabu ya Arsenal kwa muda usiojulikana baada ya shabiki kugundua makosa katika jezi hizo.
Kampuni ya Adidas imesitisha mauzo ya jezi mpya za klabu ya Arsenal kwa muda usiojulikana baada ya shabiki kugundua makosa katika jezi hizo. Adidas walitaka kuweka alama za kumbukumbu ya mwaka 2004 ya mechi 38 za Arsenal ila walikosea wakaweka alama ya mechi 32 pekee.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live