Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Fulham imethibitisha usajili wa Adama Traoré kwa uhamisho huru baada ya mchezaji huyo kumaliza Mkataba wake na Wolves.
Klabu ya Fulham imethibitisha usajili wa Adama Traoré kwa uhamisho huru baada ya mchezaji huyo kumaliza Mkataba wake na Wolves. Adama Traoré Amesaini Mkataba wa miaka 2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live