Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Adam Salamba alamba dili Misri

Salamba Adam Adam Salamba

Wed, 12 Oct 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Nyota wa Tanzania Adam Salamba amesajiliwa na klabu ya Ghazl El Mahalla ya Misri kwa mkataba wa miaka miwili.

Salamba anajiunga na Ghazl El Mahalla akitokea JS Soura inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria.

Salamba amepita vilabu vya Lipuli FC, Simba SC, Al- Jahra na Namungo FC.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live