Thu, 10 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Ghazl El-Mahalla FC imethibitisha kuwa Mshambuliaji wao mpya kutoka Tanzania, Adam Salamba amefanyiwa vipimo na kukutwa na uvimbe kwenye misuli yake.
Klabu ya Ghazl El-Mahalla FC imethibitisha kuwa Mshambuliaji wao mpya kutoka Tanzania, Adam Salamba amefanyiwa vipimo na kukutwa na uvimbe kwenye misuli yake. Daktari wa timu hiyo, Dkt. Khaled Al-Jamez amesema kuwa wamefanya kipimo cha X-ray ndipo walipogundua tatizo hilo; "X-ray imethibitisha uwepo wa uvimbe wa misuli ya Adam Salamba."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live