Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Southampton ambao wamepanda daraja msimu huu wamepanga kumrudisha kiungo wao wa zamani Adam Lallana kama usajili wao wa kwanza mjini EPL
Mkataba wa Lallana na klabu yake ya sasa [ Brighton ] unamalizika mwezi ujao hivyo mambo yakienda sawa watamsajili kama mchezaji huru
Uzoefu , SOTON wamepanda watasajili damu changa lakini wameona umuhimu wa kuwa na mtu wa kuwaongoza vijana
Chanzo: www.tanzaniaweb.live