Thu, 5 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Baroka Fc ya Championship Afrika Kusini imekamilisha usajili wa beki wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Hassan Banda.
Banda anarejea Baroka Fc aliowahitumikia kwa misimu miwili akitokea Richards Bays ya Afrika Kusini.
Kila la kheri Abdi Banda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live