Wed, 15 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muda mchache kutoka sasa Klabu ya Yanga itakuwa uwanjani katika dimba la Mkapa kumenyana na Ihefu katika mchezo wa Azam Sports Federation.
Mchezo huo ni wa hatua ya tatu na mshindi atakaepatikana ndie atakefuzu kwenda hatua ya nne.
Hiki hapa kikosi kinachoanza cha Yanga;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live