Sun, 10 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 10 za mwisho zinashuhudia yakipatikana magoli mawili mchezo wa Robo Fainali Kombe la Azam Sports katika dimba la Mkapa.
Geita Gold wanapata goli dakika ya 86 kabla ya Yanga kusawazisha dakika za nyongeza.
Mchezo umeongezwa dakika tano, na pengine yoyote anaweza kuongeza goli
Chanzo: www.tanzaniaweb.live