Sat, 14 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 35 zimeshakatika tangu kuanza kwa mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Azam kati ya Simba dhidi ya Pamba katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Dakika 35 zimeshakatika tangu kuanza kwa mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Azam kati ya Simba dhidi ya Pamba katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Hakuna Timu iliyofanikiwa kuona lango la mwenzake licha ya Simba kufanya mashambulizi kadhaa ya hatari langoni mwa Pamba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live