Wed, 16 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha John Bocco anafungua akaunti yake ya magoli kwa msimu wa 2021/2022 baada ya kuipatia Simba bao la uongozi dakika ya 1 ya mchezo.
Nahodha John Bocco anafungua akaunti yake ya magoli kwa msimu wa 2021/2022 baada ya kuipatia Simba bao la uongozi dakika ya 1 ya mchezo. Simba ambao wameanza mchezo kwa kasi, wanaonesha bila shaka wanataka kuenda hatua ya 8 bora ya michuano hii ya ASFC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live