Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga Kinahuka dimbani majira ya saa 1:00 Usiku kumenyana na Maafande wa Jeshi la Magereza, Tz Prisons mchezo wa Kombe la Azam Sports Federation.
Mchezo huo wa hatua ya 16 Bora unapigwa katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kutokana na maboresho yanayoendelea katika Uwanja wa Mkapa.
Yanga wanahitaji ushindi katika mchezo huo ili kupata nafasi ya kwenda kutetea Kikombe ambacho alikibeba msimu uliopita.
Tazama kikosi kamili cha Yanga kinachokwenda kuanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live