Wed, 8 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimaye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba ya mechi za hatua ya 16 bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) zitakazochezwa mwanzoni mwa mwezi ujao.
Yanga ndio Bingwa Mtetezi wa Kombe hilo akilibeba katika Fainali ya msimu uliopita Jijini Arusha mbele ya Coast Union.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live