Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 25 zimekwishaondoka huku milango ikiwa bado ni migumu kwa kila upande sio Yanga wala wageni Tanzania Prisons waliofanikiwa kuona lango la mwenzake.
Dakika 25 zimekwishaondoka huku milango ikiwa bado ni migumu kwa kila upande sio Yanga wala wageni Tanzania Prisons waliofanikiwa kuona lango la mwenzake. Kennedy Musonda amepoteza nafasi tatu za wazi ambazo kama angekuwa makini basi angewapa wananchi mabao ya uongozi lakini uimara wa mlinda mlango wa Prisson umewaweka salama mpaka wakati huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live