Mon, 20 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya As Vita Club imevunja mikataba ya wachezaji watatu kufuatia Utovu wa nidhamu waliouonyesha kwenye Klabu pamoja na kwa viongozi wa benchi la Ufundi la Klabu hiyo, wachezaji hao ni;
Patrick Banza
Nissi Ngoma
Mike Dombo.
Patrick Banza yeye alimtukana Kocha Mkuu wa Klabu hiyo na kusema kwamba chanzo cha matokeo mabovu ya AS Vita Club ni Kocha Mkuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live