Sat, 20 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya APR ya Rwanda imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Dar Port Kagame baada ya kuitoa Al Hilal ya Sudan kwa penalti 5-4 kufuatia matokeo ya suluhu ya 0-0 hadi muda wa nyongeza katika nusu fainali ya kwanza kwenye uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Klabu ya APR ya Rwanda imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Dar Port Kagame baada ya kuitoa Al Hilal ya Sudan kwa penalti 5-4 kufuatia matokeo ya suluhu ya 0-0 hadi muda wa nyongeza katika nusu fainali ya kwanza kwenye uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live