Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ukiangalia Lupaso, kiukweli panatia matumaini kwa marekebisho/ukarabati uliofanyika kuanzia taa, vyumba vya kubadilisha nguo n.k.
Tumezoea kuona sound inafungwa siku moja kabla ya tukio lakini kuelekea mechi ya ufunguzi wa African Football League mambo ni tofauti kabisa! Sound tayari imefungwa kitambo na inajaribiwa kila siku.
Miongoni mwa faida za mechi ya ufunguzi wa mashindano ya African Football League ni kutengeneza ajira za muda mfupi, vijana wengi wamepata nafasi ya kufanya kazi kuelekea tukio hili kubwa na wao ni watanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live