Mechi za Robo fainali mkondo wa kwanza zimetamatishwa jana kwa michezo miwili kupigwa viwanja viwili tofauti ,TP Mazembe akishinda nyumbani na Wydad pia akishinda bao moja ugenini .
Mkondo wa kwanza umezalisha jumla ya mabao 8 huku makipa wawili pekee wakiondoka na hati safi (cleansheet).
Hakuna mchezaji aliyefunga magoli mawili hadi sasa !
Kibu Denis | Simba 1
Kanoute | Simba 1
Reda Slim | Ahly 1
Kharaba | Ahly 1
Yahya | Wydad 1
Cheick Fofana | Mazembe 1
Thapelo Maseko | Sundowns 1
Marcelo Allende | Sundowns 1
Mechi za mkondo wa pili zinaanza kesho ! Matokeo ya jumla yataamua nani anasonga mbele hatua ya Nusu Fainali .