Tue, 12 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda mlango wa Morocco Yassine Bounou alikuwa chaguo namba moja la kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti baada ya kujua atamkosa Golikipa wake Thibaut Curois kwa sababu ya majeruhi.
Ila hadithi ilibadilika baada ya Kocha huyo kugundua atakwenda kuikosa huduma ya mlinda mlango huyo mwezi Januari kwa sababu ya Michuano ya AFCON.
Carlo akapendekeza jina la Kepa Arrizabalaga kutoka Chelsea katika nafasi ya Curtois.
Je una maoni gani kwa kitendo cha Michuano ya AFCON kuchezwa mwanzoni mwa mwaka? au CAF wabadilishe ratiba
Chanzo: www.tanzaniaweb.live