Wed, 31 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Ac Milan imefikia makubaliano ya kumsaini nyota wa Frankfurt Daichi Kamada (26) raia wa Japan kama mchezaji huru.
Takwimu za Daichi msimu katika Bundesliga
Mechi: 32 Magoli: 9 Assists: 6
Mkataba wa Daichi na Milan utakuwa hadi mwaka 2028.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live