Dini

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Viongozi wa dini watakiwa kutoa elimu juu ya corona

PRESIDENT Viongozi wa dini watakiwa kutoa elimu juu ya corona

Thu, 8 Jul 2021 Chanzo: ippmedia.com

"Nawaomba sana maaskofu na viongozi wengine wadini tuwahimize waumini wetu katika kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 lakini pia tuliombee Taifa na dunia ili ugonjwa huu uondokane nasi," amesema.

Ametoa wito huo leo Alhamisi Julai 8, 2021 wakati akishiriki Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) mkoani Morogoro.

Rais Samia amesisitiza kuwa zoezi la sensa ya watu na Makazi ni muhimu sana na kuwa bila takwimu nzuri mipango ya maendeleo haitakaa vizuri.

Hivyo, kutokana na umuhimu wa sensa hiyo rais amewasihi viongozi wa dini kuwahimiza wananchi kushiriki katika zoezi hilo la Kitaifa.

Chanzo: ippmedia.com